23 September 2015

Utafiti wa TWAWEZA Waibeba CCM.....Kama Uchaguzi Ungefanyika Leo asilimia 65% walisema Magufuli, 25% walisema Lowassa.



Taasisi ya Twaweza imetoa utafiti wake ambao inasema imefanya kwa wananchi wa Tanzania bara kutoka mikoa tofauti ya Tanzania.

Swali la kama uchaguzi ungefanyika leo, ungempigia kura mgombea wa chama gani? wanasema watu wamejibu kama ifuatavyo


SOMA ZAIDI

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname