Mgombea
Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo
(CHADEMA), Mh. Edward Lowassa, akiwapungia mkono wananchi wa Mji wa
Bariadi (hawapo pichani) wakati alipowasili kwenye Uwanja wa Mpira wa
Halmashauri Wilaya ya Bariadi Mkoani Simiyu, kulikofanyika Mkutano wa
Kampeni zake, anazoendelea kuzifanya katika Majimbo mbali mbali ya
Uchaguzi hapa nchini. Katika ziara hiyo, Mh. Lowassa aliambatana na
Waziri Mkuu wa Zamani, Mh. Fredrick Sumaye pamoja na Mwanasheria wa
CHADEMA, Mh. Tundu Lissu.
Mgombea
Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo
(CHADEMA), Mh. Edward Lowassa, akisalimiana na baadhi ya viongozi wa
Vyama vinavyounda UKAWA wa Mkoa wa Simiyu, wakati alipowasili kwenye
Uwanja wa Mpira wa Halmashauri Wilaya ya Bariadi Mkoani Simiyu,
kulikofanyika Mkutano wa Kampeni zake, anazoendelea kuzifanya katika
Majimbo mbali mbali ya Uchaguzi hapa nchini.


No comments:
Post a Comment