18 September 2015

Dk.Ali Mohamed Shein KATIKA JIMBO LA MKANYAGENI



1
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar akizungumza na wanachama wa CCM na wananchi katika mkutano wa kampeni za CCM uliofanyika leo katika uwanja wa Black wizard Chokocho jimbo la uchaguzi la Mkoani Wilaya ya Mkoani Pemba,
PICHA ZOTE NA IKULU.
8
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar akiwa Mgombea wa Urais wa kupitia CCM kwa kipindi cha pili Dk.Ali Mohamed Shein akionesha Ilani ya Chama cha Mapinduzi kwa Wananchi na Wanachama wa CCM jimbo la Mkanyageni katika mkutano wa kampeni za Uchaguzi zilizofanyika katika uwanja wa mpira  Black wizard leo Chokocho,
 

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname