Rais
Jakaya Kikwete amesema anashangazwa na Mwanasheria wa Chadema, Tundu
Lissu kumtaka amtaje mhusika wa Richmond wakati mwenye Richmond yupo na
anatembea naye mikoani.
Kikwete
aliyasema hayo jana wakati akiwaaga wananchi wa Kigoma katika Uwanja wa
Lake Tanganyika na kumtaka Lissu amtaje mwenye Richmond.
No comments:
Post a Comment