Mgombea
Urais wa CCM Dkt Magufuli,akiwahutubia Wananchi wa Tabora jioni ya leo
kwenye mkutano wa hadhara wa kampeni uliofanyika katika uwanja wa Ali
Hassan Mwinyi.Dkt Magufuli alisema kuwa Serikali
yake kwa sehemu kubwa itakuwa upande wa wananchi wanyonge ili hatimaye
wawe na maisha yenye neema na kwenye hilo ana uhakika atafanya kazi
nzuri maana kwake yeye ni kazi tu na hakuomba kuwa Rais ili awe
mwanasiasa bali anaomba nafasi hiyo kwa kujua anajua namna ambavyo
amejipanga kufanya kazi kwa ajili ya maendeleo ya Watanzania wote.
Sehemu
ya umati wa watu waliokuwa katika uwanja wa Ali Hassan Mwinyi jioni ya
leo walipokuwa wakimsikiliza Mgombea Urais wa CCM Dkt Magufuli.


No comments:
Post a Comment