Miongoni mwa mastaa hao ni pamoja na member wa kundi la Uhuru la Afrika Kusini ambaye pia ni producer, Dj Maphorisa ambaye amemuomba Diamond afanya nao Remix ya ngoma hiyo.
Dj Maphorisa ambaye ameshatengeneza hits nyingi za wasanii wengi wa Afrika wakiwemo Mafikizolo, Davido, Wizkid na Watanzania kama Linah, Madee, Chege na Temba, amepost comment aliyojibiwa na Diamond baada ya kucomment kwenye post yake ya Instagram na kuandika kuwa Diamond amekubali kufanya naye remix ya wimbo huo.
Hii ndio ilikuwa comment ya Dj Maphorisa kwa Diamond
Na hiki ndicho Platnumz alijibu:
No comments:
Post a Comment