15 May 2015

PADRI ANASWA KICHAKANI NA MREMBO WAKIWA WATUPU USIKU HUKO KURASINI, DAR!

KAMA mti mbichi unatenda haya, itakuwaje kwa mti mkavu?! Ndivyo inavyoweza kutafsiriwa kwa Katibu Mtendaji wa Idara ya Mawasiliano wa Baraza la Maaskofu wa Kanisa Katoliki Tanzania (Tanzania Episcopal Conference, TEC), Padri Anatoly Salawa kufuatia kunaswa kichakani akiwa na mrembo.
Padri Anatoly Salawa akitaharuki baada ya fumanizi hilo. NI SAA 8: 02 USIKU
Kiongozi huyo wa dini alinaswa hivi karibuni majira ya saa 8: 02 usiku akiwa ndani ya gari aina ya Toyota RAV 4 lenye nambari ya usajili T 674 ADA kwenye kichaka kilichopo maeneo ya viwanda na gereji za magari makubwa, Kurasini jijini Dar.  


BONYEZA KUONA VIDEO YA FUMANIZI HILO>

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname