Hiyo ni Picha ya Msichana ambayo siku ya jana imesambaa sana mitandaoni...
Inasemekana alipita maeneo ya Sinza akiwa amevaa kinguo kifupi ambacho
kilivuta hisia za wanaume wakware na kuanza kumzonga zonga wakitaka
kumvua kabisa kimini hicho huku wengine wakimchoma vidole sehemu zake
za siri.
Kwa bahati nzuri alitokea jamaa mmoja mwenye gari ambaye alimchukua huyu dada na kumficha ndani ya gari yake.....
Baada
ya Wananchi wenye hasira kali kutishia kupasua vioo vya gari,
jamaa aliamua kutafuta boda boda ambaye alimpakiza na kutimuka
nae kwa kasi huku wananchi wakifukuzia kwa nyuma.
No comments:
Post a Comment