Miaka
miwili iliyopita kuna boya aliiteka account yangu ya Facebook akaandika
kama unataka kuona picha za uchi za msanii flani wa kike afungue link
aliyoeiweka hapo, ni siku nliochezea matusi meeengi ya kila aina kila
nikijaribu kuwaambia sio mimi watu hawaelewi walitukana sana ..
ilininyima amani kabisa issue hio iliendelea mpaka taarifa za msiba wa
mwenetu kipenzi cha watu freestyle master, cowbama #Arlbertmangwea kua
amefariki ndo yale matusi ya yakapungua na kwisha
kabisa, nilikua nimejipanga kufanya jambo ambalo naamini ingekua ni
story ingine ila kwa heshima ya ngweair I let it go.. so kila inapofika
tarehe hii nakumbuka mambo miwili ya kwanza ni kuharibiwa biashara yangu
ya online mixer ma tangazo na pili ni kuondoka kwa #mshkajiwetu ...
mungu ampumzishe kwa amani na alie teka account yangu alaaniwe yale
matusi yamrudie kwa vitendo ... tukutane kwa fasi #xxl #cloudsFM
No comments:
Post a Comment