Huruma Chuchu Hanc ameshambuliwa kwa maneno ya kasfa na wasanii wawili
wa Bongo movies Irene uwoya amedai mdada huyo anashapu ya henga
wakimaanisha mwembamba amesimama kama namba moja.Wakati Johari Chengula
amemdhihaki kwakudai mdada huyo amekaa kama mti.
Johari amekua akimwonea wivu msanii mwenzake Chuchu Hanc kwakua
alimpokonya tonge mdomoni nakumchukua mpenzi wake Ray Kigosi.Johari toka
kuachwa huko na Ray Kigosi wamebaki na uhusiano wa kazi kama wamiliki
wa kampuni ya RJ company ya utengenezaji filamu.Upande wa Johari mapenzi
hayajamkalia vizuri toka kuachana na star huyo wa filamu.
No comments:
Post a Comment