Rapa wa Kundi la Weusi amefanyiwa mahojiano na Clouds Fm nakusema
amefanya kazi na mpenzi wake wa kitambo ambaye ni msanii wa bongo fleva
Ray C.
Lord Eyez amethibitisha kuwa wimbo umepewa jina ‘Matatizo’ na
umefanyika studio za Mangugu Digital na Producer Shaqee. Wimbo una stori
kuhusu mambo tofauti tunayopitia kwenye maisha.
No comments:
Post a Comment