25 April 2015

BREAKING NEWS:TUNAOMBA RADHI KWA PICHA HIZI KIJANA MMOJA AUWAWA KWA KUCHOMWA KISU BAADA YA KUKUTWA NA MKE WA MTU


Kijana mmoja kwa jina ADAM MANONDO mkazi wa Sakina auwawa kikatili huko Arusha jioni hii baada ya kufumaniwa akimla mke wa mtu kwenye gari. Mama huyo ni mke wa mmiliki wa baa moja maarufu jijini Arusha (jina kapuni kwa sasa) na gari walilokuwa wakitumia aina ya VOXY ni la mama huyo.  

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname