13 March 2015

WACHEZAJI WA MANCHESTER UNITED WANAVYOTUA NA KUONDOKA MAZOEZINI

Kawaida hapa nyumbani, wachezaji wa timu mbalimbali kubwa hupelekwa mazoezini na basi.
Huo ndiyo utaratibu, lakini inapofikia katika timu kubwa, kila mchezaji hutinga mazoezini na usafiri wake.Picha hizi zinaonyesha namna wachezaji wa Man United ambavyo hutinga na kuondoka mazoezini wakiwa na usafiri wao.




No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname