13 March 2015

Kuhusu milio ya Risasi kusikikasikika nyumbani kwa lil wayne

Imeripotiwa kuwa milio ya risasi ilisikika nyumbani kwa Rapper Lil wayne huko Miami beach siku  ya jana,Polisi walipokea simu kuwa kuna milio ya risasi nyumbani kwa rapper huyo na inawezekana watu wanne wanaweza wakawa wamepigwa na risasi kutokana na tukio hilo.
View image on Twitter
Baada ya polisi kufika eneo la tukio, walisema kuwa taarifa zilikua za uongo na hakuna mtu yoyote aliyepigwa risasi.  Mtandao wa TMZ umeripoti kuwa Lil wayne hakuepo nyumbani wakati wa tukio hilo, Pia Manger wa rapper huyo,Cortez Bryant aliuambia mtandao wa XXL kuwa “Wayne was never home he was in the studio working. It was a prank call to the police on the 911 line that alerted them to go to the property. I allowed them access in and they found the house empty. All is good”

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname