23 March 2015

MAMA NAY WA MITEGO APATA MSHTUKO MKUBWA


Mbongo Fleva, Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’ akiwa na mpenzi wake Siwema.Waandishi Wetu 
JAMBO limezua jambo! Siku chache baada staa wa Bongo Fleva, Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’ kudaiwa kumfumania mpenzi wake Siwema Edson kisha kuondoka na mtoto wa miezi mitatu (Curtis), mrembo huyo ameibuka na kudai mtoto huyo si mali ya Mbongo Fleva huyo hali ambayo imesababisha mama yake mzazi Nay apate mshtuko, Ijumaa Wikiendalinakupa mchapo hatua kwa hatua.


Ijumaa iliyopita, gazeti tumbo moja na hili la Ijumaa liliripoti tukio la Nay kutonywa kuwa mchumba’ke anachepuka jijini Mwanza anakoishi ambapo Nay aliamua kufunga safari kutoka Dar hadi Mwanza na kumfumania Siwema akiwa na ‘serengeti boy’ wake.

Nay wa Mitego akiwa na mtoto wake anayejulikana kwa jina la Curtis.

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname