12 February 2015

MKAZI WA MWANZA ASHINDA BAJAJI YA SITA YA PROMOSHENI YA TUTOKE NA SERENGETI


Meneja wa Bia chapa Serengeti Primium Lager,  Rugambo Rodney, (kulia) akiongea kwa njia ya simu na mshindi wa sita wa Limo Bajaji, Ramadhani Abubakar, katika shindano la Tutoke na Serengeti lililofanyika katika makao makuu ya kampuni hiyo jijini Dar es Salaam. Kulia ni msimamizi toka bodi ya michezo ya kubahatisha, Baraka Majid.

Meneja wa Bia chapa Serengeti Primium Lager, Rugambo Rodney, (katikati) akiongea kwa njia ya simu na mshindi wa sita wa Limo Bajaji, Ramadhani Abubakar, katika shindano la “Tutoke na Serengeti” lililofanyika jana makao makuu ya kampuni hiyo jijini Dar es Salaam. Kulia ni msimamizi toka bodi ya michezo ya kubahatisha, Bw. Baraka Majid na kushoto ni msimamizi toka PriceWater Cooper, Golder Kamuzora
Meneja wa Bia chapa Serengeti Premium Lager, Rugambo Rodney, (katikati) akibonyeza kitufe wakati wa kutafuta mshindi wa sita wa Limo Bajaji, katika shindano la “Tutoke na Serengeti” lililofanyika makao makuu ya kampuni hiyo Chang'ombe jijini Dar es Salaam. Kulia ni msimamizi toka bodi ya michezo ya kubahatisha, Baraka Majid na kushto ni msimamizi toka PriceWater Cooper, Golder Kamuzora. 

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname