08 September 2014

WEMA SEPETU AMPA MAKAVU KAJALA,SOMA HAPA

Sexy lady wa sinema za Kibongo, Wema Isaac Sepetu ‘Beautiful Onyinye’

NGOMA NZITO! KAULI YA SEXY LADY WA SINEMA ZA KIBONGO, WEMA ISAAC SEPETU ‘BEAUTIFUL ONYINYE’ KUWA YUPO TAYARI KUMTUMIKIA MSANII MWENZAKE KAJALA MASANJA ‘K’ KWENYE KAMPUNI YAKE YA KAY ENTERTIMENT TENA BILA MALIPO YOYOTE, IMETAFISIRIWA KUWA NI KEJELI.

Hivi karibuni Wema alikaririwa akisema: “Nakubali kwamba Kajala anaweza kuwa na maisha mazuri ya kiasi hicho
na akanifanya mfanyakazi wake katika kamusi yake kwa sababu sioni cha kumfanya ashindwe kuwa hivyo, naamini anaweza kuniajiri na wala sina kipingamizi! hahahaa

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname