Bweni
la wanafunzi katika shule ya sekondari ya African Muslim iliyopo
Laloleni manispaa ya Moshi mkoani Kilimanjaro linateketea kwa moto hivi
sasa. Kwa
mujibu wa mashuhuda wa tukio hilo wamesema moto huo umeanza majira ya
saa 2 za usiku huku chanzo chake bado hakijajulikana na ripota wetu
Dixon Busagaga aliye eneo la tukio anafuatilia ajali hii na atatujulisha
kila kitachojiri na kupatikana.

.jpg)
No comments:
Post a Comment