28 April 2014

Wasanii Wazidi Kufunga Ndoa, Huyu Ni Msanii Mwingine Aliyefunga Ndoa Siku Ya Jana Na Kupewa Zawadi Ya Gari Mpyaa

 
 Jana ilikua ni siku ya furaha kwa msanii “Tiwatope Savage” maarufu kama ‘Tiwa Savage’ ambae alifunga ndoa na mme wake “Tee Billz” ambae walikua wachumba kwa muda mrefu. Kabla hawajawa wachumba Tee alikua na meneja wa Tiwa msanii huyo kutoka nchini Nigeria. Ndoa yao imefanyika Dubai na ilihudhuliwa na watu maarufu peke yake.

Katika sherehe waliyofanya usiku wa jana msanii ‘Bank W’ aliwazawadia gari jipya wanandoa hao. Unaweza tazama picha za kilichojiri katika harusi hiyo.
Gari Waliyopewa Kama Zawadi







No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname