SIKU chache baada ya kukamatwa kwa askari wa Jeshi la Polisi aliyefahamika kwa jina la Prisca Kilwai mwenye namba WP 5367 na picha yake kudaiwa ‘kuminyiwa’ na askari wenzake ili isionekane, hatimaye Ijumaa Wikienda limeinasa.
Askari
huyo ambaye kituo chake ni Ilala jijini Dar, alikamatwa kwa tuhuma za
wizi wa mtoto jinsi ya kiume aliyefahamika kwa jina la Goodluck Salehe
(siku 7) aliyeibwa April 6, mwaka huu huko Kasumulu Kata ya Itope Wilaya
ya Kyela Mkoani Mbeya.
Ilielezwa kuwa, mtuhumiwa alishirikiana na baba mzazi aliyefahamika kwa jina la Salehe Issah Mwangosi(31) mkazi wa Matankini Kyela aliyemtambulisha kwa mama mzazi (Mboka Mwakikagile umri miaka 20) kuwa Prisca ni shangazi yake hivyo amekwenda kumwona mtoto aliyezaliwa ndipo akatoroka naye.BOFYA KUSOMA ZAIDI
No comments:
Post a Comment