Mashahidi wa tukio hilo wamesema kuwa washambuliaji hao walivalia nguo nyeusi na kuwavamia abiria waliokuwa wakingojea treni na kuwakatakata huku wengine wakiwadunga visu wale hasa walioshindwa kukimbia kwa kasi.
Polisi wamefanikiwa kuwauwa washambuliaji watano kati ya kumi waliofanya shambulio hilo,Shirika la habari la Xhinua limewalaumu watu wanaopigania kujitenga katika mkoa wa Shinjiang kwa tukio hilo,ulinzi bado umeimarishwa eneo la tukio.
Cheki picha hapa chini...
No comments:
Post a Comment