alichukua mic na kutangaza kuhusu zawadi ya kiwanja alichokinunua kwa ajili ya Mubenga.
Miongoni mwa mastaa waliohudhuria hii party ni pamoja na B12 na Dj Zero wa XXL 88.5 Dar es salaam, Vanessa Mdee wa 102.5 Choice FM, Salama Jabir wa Mkasi ya EATV, Ay, Lamar, waigizaji Jackline Wolper na Kajala kama picha zinavyoonyesha hapa chini.
No comments:
Post a Comment