14 November 2013

OmmyDimpoz ametangaza kumzawadia meneja wake kiwanja kwenye hii party

24
November 13 2013 Osterbay Dar es salaam ilifanyika party ya birthday ya Mubenga ambae ni meneja wa mwimbaji Ommy Dimpoz ambae baada ya kukata keki, Ommy ambae ni msanii wa pili Tanzania kulipwa pesa nyingi kwenye show (Milioni 8) kati ya wote  waliowahi kutangaza bei zao,
alichukua mic na kutangaza kuhusu zawadi ya kiwanja alichokinunua kwa ajili ya Mubenga.
Miongoni mwa mastaa waliohudhuria hii party ni pamoja na B12 na Dj Zero wa XXL 88.5 Dar es salaam, Vanessa Mdee wa 102.5 Choice FM, Salama Jabir wa Mkasi ya EATV, Ay, Lamar, waigizaji Jackline Wolper na Kajala kama picha zinavyoonyesha hapa chini.

22
1
2
3
4
5
6
7
8
9
10
11
12
13
14
15
16
17
18
19
20
21
23
30
31
32
33
34Credit millardayo

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname