09 November 2013

MAITI ZAFUKULIWA NA KUBALISHWA NGUO KISHA KUZIKWA TENA..!!




Nchini indonesia katika kijiji cha Tana Toraja, maiti huwa zinafufuliwa na Kubadilishwa nguo, zoezi hili hufanyika kila mwaka baada ya maiti kuzikwa, na wanafamilia ndio huifanya kai iyo;
Mara nyingi mtu anapo kufa huwa wanamzika katika sehemu aliyo zaliwa na sio aliyokufia so kila baada ya mwaka humfukua na kumbadilisha mavazi, hii ni moja kati ya mila zao wenyewe:
Duuh hii nouma sana mimi kwa hapo neno sina khaa!!!

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname