Folorunsho Alakija wa huko Nigeria ni mwanamke mwenye utajiri mkubwa wa kiasi cha dola Billioni 3.3.
kama
ulizani Oprah ndie mwanamke mweusi tajiri pekeyake utakuwa umekosea
dada huyu ni mmiliki na muanzilisha wa kampuni kubwa ya mafuta iitwayo
Famfa Oil.
Alianza
kufanya kazi kwenye Bank ya International Merchant Bank of Nigeria, na
baadae kwenda England kusomea mambo ya Fashion. Aliporudi Nigeria
alianzisha kampuni ya Supreme Stitches ambayo ilizalisha nguo, ulipofika
mwaka 1993 ndipo alipo anzisha kampuni ya mafuta.

No comments:
Post a Comment