15 November 2013

KOVA:MHE.KAPUYA HANA KOSA LA KUHOJIWA NI MAMBO YAKE BINAFSI

Akiongea na wanahabari leo mchana kamanda kova kasema hawawezi kumuita Mhe. Kapuya kasababu haya ni mambo yake binafsi na hakuna mtu yeyote ambaye amakuja hapa polisi kulalamika kutendewa vibaya na Mhe. Kapuya.

"hata hivyo kamanda kova kasema kama kuna ushahidi wowote wa kueleweka sio kusingizia mtu vituo vya polisi viko wazi masaa 24"

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname