15 November 2013

HII NDO GARI YENYE THAMANI YA MILIONI 483 ILIYOONEKANA IKIKATIZA MITAA YA NAIROBI KENYA. BONGO HAMNA HATA MOJA YA AINA HII




Baada ya Nigeria kuongoza kwa baadhi ya watu wake wengi kumiliki magari ya bei mbaya, sasa kenya wasema kua nao hawapo nyuma. Nimebahatika kuipata picha ya gari aina ya Aston Martin DB 9 yenye thamani ya $300,000 za kimarekaniau milioni 483 za kibongo. Bado haijajulikana gari hiyo hasa inamilikiwa na nani lakini imeonekana ikikatiza mitaa ya nairobi,
SHUKA CHINI KUTOA MAONI YAKO

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname