Ilisemekana Kama mwaka moja uliopita wasanii Ney Wa Mitego Na Madee walikuwa na beef kubwa
na
lilichochewa na mitandao ya kijamii na vyombo vya habari. Tatizo kati
yao lilikuwa ubabe wa nani anaibeba manzese na ndio Rais wa Manzese huku
Madee akijiita rais na Ney akisema hakuna Rais Manzese.
Siku
zilivyo zidi kwenda walionekana kwenye show tofauti wakiwa pamoja na
kupiga show kwenye jukwa moja bila tatizo. Interviews kwenye radio
kuhusu ugomvi wao zilipungua na picha zao wakiwa pamoja zika sambaa, Kwa
sasa hawa jamaa ni mabeste kinoma.
No comments:
Post a Comment