09 October 2013

MTAZAME KAJALA AKIKWEPA KUPIGA PICHA KISA AJAJIPIGA MAKE UP AFU YUPO RAFU...!!


Kajala Masanja

MASTAA wetu Bongo ukimtokea ghafla na ukataka kumpiga picha bila kujiremba unaweza kumuua kwa hofu, siku za karibuni kamera ya FC ilimkosesha raha nyota wa filamu Swahiliwood Kajala Masanja pale alipokutana na mpiga picha wetu na kutaka kumpiga picha kama sehemu ya kumbukumbu katika matukio, msanii huyo alizuia huku akilalamika.
.
Kajala 604
Kajala Masanja
Kajala akiwa mtaani akimzuia mpiga picha mahiri wa FC ambaye hayupo pichani, hataki kupigwa picha hajajiandaa kujipiga Make up kuchagua pamba kali.

kajla masanja 602  “Aaah sitaki jamanii unanipigaji picha hivi hata sijajiandaa jamani, nipo rafu sipendi ukipiga picha angalau uwe smart, usinipige picha sitaki sitaki sijajiandaa picha zitakuwa mbaya please usifanye hivyo,”anasema. Utafiti unaonyesha kuwa mara nyingi nyota wa filamu wamejenga tabia ya kujiandaa kwa kujipodoa wakiwa wapo location au wakifanya mahojiano na wanahabari, hivyo kuwa na muonekano tofauti na wanavyokuwa na maisha ya kawaida wakiwa katika mishemishe za maisha halisi.

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname