Kampuni ya Google
imekuwa ikikuwa siku hadi siku kutokana na kuzidi kupanua Wigo wake wa
kibiashara Duniani kwa sasa Google imeamua Kutengeneza Laptop ili kuzidi
Kuimarisha
Ushindani wa Kibiashara Duniani, Laptop Hizo zimepewa jina
la The HP Chromebook 11. Kampuni ya Google ikishirikiana Hp imetangaza rasmi kuwa Laptop hizi zitakuwa zikipatikana kwa Bei ya Dola 279 {$279} za kimarekani.
No comments:
Post a Comment