HILI NDO GARI LILILOTOLEWA UPEPO NA MWANAMKE KUPIGWA RISASI BAADA YA KUKAIDI AMRI YA POLISI ARUSHA
Gari
lenye namba za usajili T888 BWW aina ya Cresta mali ya Vaileth
Mathias,likiwa chini ya ulinzi wa polisi,baada ya Mathias kupigwa
risasi na
polisi jana baada ya kukaidi amri ya kuegesha gari sehemu
muhimu ya benki na kumtishia kwa bastola akari aliyekuwa zamu (Picha na
Veronica Mheta)
No comments:
Post a Comment