10 October 2013

BASI UNAAMBIWA HUYU NDO MSANII WA COMEDI ANAYEONGOZA KWAKUWEKA PICHA ZA AJABU MTANDAONI



Mwanadada anaejulikana kwa jina la EFReUNCINA Anaejishuhurisha na shuhuri za kuchekesha kwenye INYE NDEMWENDENBWE amekuwa mtu wakutupia picha za hasara hasara kwenye mtandao wa facecook kwa muda mrefu sana. bila yakuangalia maumbe yake yalivyo. akiongea na blog hii ya burudani mmoja wa marafiki wa dada huyo amesema niliandika coment kwenye picha hii lakini alifuta dada huyu niliandika tangu uanze kuweka picha fb umepata mabwana wangapi mana kila siku unaweka na hakuna jipya. hakujibu na matokeo yake alifuta coment hiyo.
SHUKA CHINI KUTOA MAONI YAKO

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname