Baada ya fans wengi kuanza “kumponda” mwanadada Irene Uwoya kuwa gari aina ya Range Rover aliyoinunua “amehongwa na washika dau”, mwanadada huyo ameibuka na kusema kuwa mali anazomiliki amezinunua kwa pesa zake anazopata kwenye uigizaji pamoja na zile zinazotokana na biashara zake nyingine.
No comments:
Post a Comment