Azam
TV inataraji kuwa hewani rasmi katikati ya mwezi Novemba na kuzinduliwa
rasmi mwishoni mwa mwezi ujao huku ikianza na Channel zaidi ya 35
Bureee na baada ya uzinduzi mteja atapata Channel 50+ kwa gharama nafuu
ya 12,500/= tu kila mwezi. Azam Tv wanasema wao hawana ubaguzi wateja
wote ni sawa na hakuna package maalum kwa watu maalum.
1. Best quality for reasonable/affordable price
2. High volume, low margin
3. Tanzanian Company for Tanzanians
4. Pan - African service based in Tanzania
5. Single bouquet - No rich , poor man packages
6. Facility to record what your watching
7. Electronic programme guide
9. Azam One - African contents, mostly in Swahili
10.Azam Two - International channels from around the world, some will be dubbed in Swahili
11. Sinema Zetu - 24 hours Swahili movies
12. Sporting and non sporting opportunities for live and recorded contents
13. Tabata site - 2 studios by January 2014 for indoor shows/talk show
14.Country wide installers/distributors from cities to small towns
15.Full installation (Dish, decoder & installation fee) for TZS 95,000/= only - This is promotion launch price.
16. 50+- channels for TZS 12,500/= only
17. East African FTA (Free to A air) channels always available, even if you forget to pay subscription.
18. Open door/switch on signal by mid November for 35+ channels for free
Afisa
Mtendaji Mkuu wa Azam TV, Rhys Torrington akifafanua mambo kwa
waandishi wa habari mbalimbali waliofanya matembezi katika kituo hicho
kipya cha habari za michezo na burudani kilichopo Tazara jijini Dar es
Salaam kujionea maandalizi ya mwisho mwisho kabla ya kuanza kutrusha
matangazo yake moja kwa moja. Kwa sasa kituo hicho chenye mkataba wa
kurusha live mechi zote za Ligi kuu ya Soka Tanzania Bara kinarusha
kupitia Televisheni ya Taifa, TBC.
Afisa Mtendaji Mkuu wa Azam TV, Rhys Torrington akionesha kwa wanahabari Kisumbusi
Wanahabari walikuwa makini sana kufuatilia neno hadi neno
Ziara ilinza na hapa C.E.O wa Azam TV, Rhys Torrington aliwatembeza wadau
Hizi
ni meza za Huduma kwa Wateja, pindi wateja watakapofika AZAM TV kununua
Visumbuzi vyao basi hapa ndipo watapokelewa na kupata maelezo yote
muhimu.
Hii ndio sehemu ya Huduma kwa Wateja na Mapokezi ya Azam TV. Ni maridadi na yakuvutia.
Ziara ilikuwa ya furaha sana ...
hapa ni dawati la kupokea kero na utatuzi wa masuala mbalimbali ya Azam Tv hasa kupitia Kisumbuzi chake.
Hili ndo gari la kisasa na laaina yake la kurusha matangazo
Ndani ya gari hilo kuna mitambo mingi sana.
Wana habari wakilamba picha na mtaalam wa Azam TV, Yahaya Mohamed.
Yahaya Mohamed akitoa somo la mitambo hiyo inavyoendeshwa.
Wanahabari wakipata somo
Waandishi wakiingia kwa OB van
Mzigo ndo kama huu Uzinduzi tu muwahi
CREDIT: MrokimBlog
No comments:
Post a Comment