ANGALIA PICHA KIJANA AUAWA BAADA YA KUMUUA MWENZAKE KWA KUMCHOMA KISU
Huyu ndiye marehemu kijana maarufu kwa jina la 'Mkandarasi' anayesadikika kufanya mauaji kwa mumchoma kijana mwenzake kisu naye aliuawa na wananchi wenye hasira katika mtaa wa Msikiti wa Ijumaa jijini Mwanza. SOMA ZAIDI
No comments:
Post a Comment