![](http://2.bp.blogspot.com/-f8slnB9YlwA/UXuvS41OY4I/AAAAAAAAfDo/_b9C9GoCXik/s1600/DENTII.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-gHbKpxib2co/UXuvmHrHaoI/AAAAAAAAfDw/776dWRBZOvo/s1600/DENT.jpg)
MfanyabiAshara ‘alwatani’ Bongo, mkazi wa jijini Dar, Allain Tajiri
amekumbwa na skendo nzito baada ya kufumaniwa na mwanafunzi wa sekondari
wa kidato cha pili mwenye umri wa miaka 16.
![](http://2.bp.blogspot.com/-uLs_ZIKVtSs/UXuwqR2IdcI/AAAAAAAAfD8/SL7DzVnPqKU/s1600/DENTI.jpg)
Tukio hilo la kusikitisha lilitokea Jumatano ya Aprili 24, mwaka huu
katika chumba namba 107 kwenye gesti iitwayo Jamboz iliyopo Kinondoni
jijini Dar.
No comments:
Post a Comment