07 February 2016

MBWANA SAMATTA AZIDI KUTIKISA,ONA HAPA AKIWA NA WACHEZAJI WA KLABU YAKE MPYA YA ULAYA KTK CHUMBA CHA KUBADILISHIA

MCHEZAJI MPYA wa klabu ya Genk ya Ubeligiji Mbwana Samatta akiwa na wachezaji wenzake mara baada ya kuiwezesha timu yake kuibuka a ushindi wa goli moja bila katika mchezo wa jana.

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname