02 February 2016
BREAKING NEWZZZ.....Diwani wa Kata Kimwani, Jimbo la Muleba Kusini (CUF) auwawa kwa kukatwa mapanga na watu wasio julikana
TANZIA: Diwani wa Kimwani, Kagera, Faustine Muliga (CUF) ameuawa kwa kushambuliwa kwa mapanga na watu wasiojulikana usiku wa kuamkia leo.
RPC Ollomi athibitisha
No comments:
Post a Comment
Newer Post
Older Post
Home
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Comments system
Disqus Shortname
No comments:
Post a Comment