05 February 2016

BREAKING NEWZZ....MTANZANIA MWANAFUNZI MWINGINE AFARIKI INDIA LEO HII ..KIFO CHAKE CHAZUA UTATA BARABARANI





Taarifa kutoka TASABA,
UONGOZI WA TASABA. Kupitia rais Prosper Mwakitwange.
Unatangaza ya kuwa kulingana, na taarifa za msiba,ni kwamba tupo katika legal process za kukabithiwa mwili wa ndugu yetu, ambapo tunataraji kufanikisha Leo. Na baadae tutatangaza process zinazofuatia nikifanikiwa, na balozi ambaye kwa sasa yupo Bangalore, nitawatangazia hatua tuliofikia na muwajulisha wapi na mahali tutakutana, naomba mjitaarishe tukiwajulisha mfike bila ya kukosa.
Mungu ibariki TASABA,
MUNGU Ibariki Tanzania.


: TAARIFA ZA MSIBA,
UONGOZI WA TASABA.
Unasikitika kutangaza MSIBA wa Mwanachama na Mwanafunzi mwezetu, CHRISTIAN BENJAMIN MUTANDIS, alikuwa anasoma Koshys College, second year, BCA course. Kilichotokea jioni ya Leo, kwa ajali ya pikipiki.
Taratibu za kuuwaga mwili,ibada na misa na sala fupi tutatangaza kesho Taratibu zote na mahali tutapokutana pamoja na kuuwaga mwili.
Tunawaomba tushirikiane kwenye kipindi hichi kigumu na familia yake.
Bwana ametoa na Bwana ametwa,
Jina lake lihimidiwe.

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname