WOLPER AFUNGUKA KUHUSU MWANAUME ALIYECHUKUA NAFASI YA MKONGO MAN
SIKU
chache baada ya kumwagana na aliyekuwa mchumba wake, raia wa Jamhuri ya
Kidemokrasia ya Kongo, mwigizaji Jacqueline Wolper amesema kuwa hawezi
kuendelea kubaki bila mtu lakini anahitaji mtu mwenye sifa.
No comments:
Post a Comment