02 November 2015

WASANII HAWA WAKUTANA KIULAINI


Ali Kiba na Victoria Kimani. KWA kipindi cha hivi karibuni mastaa wa muziki wa Bongo Fleva wamekuwa wakichanua zaidi kimataifa kutokana na muziki huo kukua.Japokuwa wengi wao wameshafanya kolabo na mastaa mbalimbali wa Afrika hususan nchi za Kenya, Nigeria na Sauz lakini kuna mastaa wengine nchini bado hawajafanya na hata wengine kuwa na shauku ya kufanya kolabo na wasanii wa namna hiyo.
 

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname