02 November 2015

MABULA: "SIKUJA KUITENGUA TORATI



Na:George Binagi-GB Pazzo & Vesterjtz.
Mbunge Mteule wa Jimbo la Nyamagana Mkoani Mwanza kupitia Chama cha Mapinduzi CCM Stanslaus Shing’oma Mabula, amewahakikishia Machinga Jijini Mwanza kuwa wataendelea kufanya biashara zao katika maeneo mbalimbali ya katikati ya Jiji hilo kama yaliyotengwa na uongozi wa halmashauri.
 

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname