02 November 2015

UNYAMA WA KUTISHA : JAMAA WACHOMWA MOTO BAADA YA KUFANYIWA UNYAMA,VIDEO INATISHA SANA

PhotoGrid_1446451221225
 Jumanne iliyopita maeneo ya Buguruni Sukita kulitokea tukio la kinyama ambapo vijana wawili wakiume mmoja akikisiwa kuwa na umri wa miaka 14 waliuwawa kinyama kwa kuchomwa moto huku mwanamke mmoja akinusurika kufa baada ya kufanyiwa vitendo vya kinyama na kupelekea kuchomwa moto.  

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname