
Jumanne
iliyopita maeneo ya Buguruni Sukita kulitokea tukio la kinyama ambapo
vijana wawili wakiume mmoja akikisiwa kuwa na umri wa miaka 14 waliuwawa
kinyama kwa kuchomwa moto huku mwanamke mmoja akinusurika kufa baada ya
kufanyiwa vitendo vya kinyama na kupelekea kuchomwa moto.
No comments:
Post a Comment