03 November 2015

MAGUFULI KUAPISHWA KESHOKUTWA,CHANGAMOTO KUBWA ZINAZO MKABILI

Rais mteule wa Serikali ya Awamu ya Tano, Dk John Pombe Magufuli anakabiliwa na changamoto nane kubwa ikiwamo ya namna ya kutatua kwa amani mgogoro wa urais wa Zanzibar ambao umeibuka, baada ya Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC) kusitisha mchakato wa kumtangaza mshindi.
Wasomi na wachambuzi wa masuala ya kisiasa wanasema mbali na changamoto hiyo inayotishia kuwaingiza wakazi wa visiwa vya Pemba na Unguja katika uhasama wa kisiasa na kijamii, 

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname