01 November 2015

Lipumba Aibukia Ofisi za CUF, Ataka JK Aingilie Kati Suala za ZEC

Ibrahim Lipumba 
Dar es Salaam. Mwenyekiti wa zamani wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba amemwomba Rais Jakaya Kikwete kuiamuru Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar  (ZEC ) kumtangaza mshindi wa uchaguzi wa uliofanyika Zanzibar ili kuipusha nchi kuingia katika machafuko. 

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname