31 October 2015

BREAKING NEWS : WATU 6 WAFARIKI KATIKA AJALI YA BARABARANI MOROGORO

Watu sita wamefariki dunia baada ya gari ndogo waliokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na basi la abiria mali ya kampuni ya Princess Muro, lililokuwa likitokea Dar es salaam kuelekea Tunduma, katika eneo la hifadhi ya taifa ya Mikumi, barabara kuu ya Morogoro-Iringa.  


No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname