25 August 2015

LOWASSA, SUMAYE Nyuma ya Pazia Kuna MAZITO! Habari Kamili Ipo Hapa!


Waziri Mkuu Mstaafu wa Serikali ya Awamu ya Tatu, Frederick Sumaye akipena mkono na mgombea urais kupitia Chadema, Edward Lowassa.
Na Mwandishi Wetu
WAKATI jana Chama Cha Mapinduzi (CCM) kikitikisa Jiji la Dar kwa kuanza kampeni za uchaguzi mkuu, Oktoba 25, mwaka huu, nyuma ya pazia ya tukio la Waziri Mkuu Mstaafu wa Serikali ya Awamu ya Tatu, Frederick Sumaye kuhama chama hicho kwenda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kumeibuka mambo kibao, Uwazi limebainishiwa. 


No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname