24 October 2014

Breaking News: Mwimbaji Chid Benz Akamatwa na Madawa ya Kulevya Airport


Chid Beenz_full Kuna Taarifa kuwa Msanii Chid Benzi amekamatwa na Madawa ya kulevya Airport Dar es Salaam ambapo alikuwa anaelekea Mbeya Kufanya Show ya Instagram..Amekamatwa na Kete Kumi na nne za madawa ya kulevya , pia na Bangi Misokoto miwili ambazo zilikuwa katika mfuko wake wa Shati .

Chid alikuwa ameongoza na Mwanamuziki Sheta ambae yeye aliruhusiwa kuendelea na safari
Baada ya kuhojiwa inasemekana Chid Alijitetea kwa kusema ni kwa ajili ya matumizi yake Binafsi , Chid kwa sasa anashikiliwa na polisi kwa mahojiano zaidi

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname