Jamani msione magari mengine yanakuwa na tintedi huko ndani ni hatari
tupu, mambo kama haya ni kawaidi kwenye magari ya tintedi , unakuta mtu
kakaa kama anataka kujisaidia kavaa nguo kama
hajavaa vile yani ni shida
, sasa kwamfano umekutana na baba mkwe njiani inabidi umpe lift
itakuaje mana hapo hata kanga labda huna utamuweka wapi..?? au umempa
kijana lift hapo, si unajua tena vijana wa siku hizi
No comments:
Post a Comment