10 March 2014

BREAKING NEWZ: BUNGE LA KATIBA MVUTANO WAENDELEA BUNGE LAAHIRISHWA MPAKA SAA KUMI

Mvutano Mkubwa Bado Umetawala Bunge Maalum Linaloendelea Mkoani Dodoma Hali Iliyopelekea Mwenyekiti wa Muda wa Bunge Hilo Mh Pandu Kificho Kuliahirisha Bunge Hilo Mchana Huu Mpaka saa Kumi Jioni.Mvutano Mkubwa Upo namna ya Kupitisha Kunini ya Kuongoza Kanuni hiyo Kanuni Kuhusu Maamuzi ya Bunge Maalum la Katiba Yapitishwe kwa Kura ya Siri ama ya Wazi. Mvutano huo umetokea pale Kundi Moja waliposema Ipigwe Kura ya
SOMA ZAIDI

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname