Msanii nyota wa Bongo movie, Wema Sepetu, leo hii amejikuta akitoa
matusi ya nguoni kwa mlinzi wake baada ya kukuta gari lake likiwa
limeibiwa power window na betri la gari lake kuchomolewa.
hali hiyo imetokea nyumbani kwake Kijito nyama, pale alipokuwa akijaribu kuwasha gari lake na kuondoka.
video hii inaonyesha masjirani waliposkia kelele za matusi kutoka kwa
mwanadadiva huyo waliamua kupanda sehem na kuchukua video ya kilichokuwa
kikiendelea kwa kujificha.
Wema akimkimbiza mfanyakazi wake huku akiwa na beseni lenye maji
Mlinzi sa sijui alikuwa anaiwaza segerea au amechoka kwa mbio zilizokuwa
zikiendelea humo ndani, au ndio zile "mungu wangu ntafanyaje mie mtoto
wa watu"



No comments:
Post a Comment